ترجمة معاني القرآن الكريم - الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس * - فهرس التراجم


ترجمة معاني سورة: التكاثر   آية:

سورة التكاثر - Surat At-Takathur

أَلۡهَىٰكُمُ ٱلتَّكَاثُرُ
Kumewashughulisha kujifahiri kwa mali na watoto mkawacha kumtii Mwenyezi Mungu
التفاسير العربية:
حَتَّىٰ زُرۡتُمُ ٱلۡمَقَابِرَ
Kujishughulisha kwenu na hilo kumeendelea mpaka mkawa makaburini na mkazikwa humo.
التفاسير العربية:
كَلَّا سَوۡفَ تَعۡلَمُونَ
Siyo namna hii inatakiwa iwapumbaze kushindana kwa wingi wa mali. Itawadhihirikia kuwa Nyumba ya Akhera ni bora kwenu.
التفاسير العربية:
ثُمَّ كَلَّا سَوۡفَ تَعۡلَمُونَ
Kisha tahadharini mtajua mwisho mbaya wa kutojishughulisha na Akhera.
التفاسير العربية:
كَلَّا لَوۡ تَعۡلَمُونَ عِلۡمَ ٱلۡيَقِينِ
Siyo namna hii inatakiwa iwashughulishe kushindana kwa wingi wa mali.Lau mnajua kikweli, mngalirudi nyuma na mngaliangusiliza kuokoa nafsi zenu kutoka kwenye maangamivu.
التفاسير العربية:
لَتَرَوُنَّ ٱلۡجَحِيمَ
Mtauona Moto!
التفاسير العربية:
ثُمَّ لَتَرَوُنَّهَا عَيۡنَ ٱلۡيَقِينِ
Kisha mtauona bila shaka!
التفاسير العربية:
ثُمَّ لَتُسۡـَٔلُنَّ يَوۡمَئِذٍ عَنِ ٱلنَّعِيمِ
Kisha mtaulizwa kuhusu kila aina ya starehe mliyokuwa nayo.
التفاسير العربية:
 
ترجمة معاني سورة: التكاثر
فهرس السور رقم الصفحة
 
ترجمة معاني القرآن الكريم - الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس - فهرس التراجم

ترجمة معاني القرآن الكريم إلى اللغة السواحلية، ترجمها الدكتور عبد الله محمد أبو بكر والشيخ ناصر خميس.

إغلاق