5 : 113

وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ

Na kutokana na shari za hasidi mwenye kuchukia watu, anapowahusudu na kuwadhuru, kwa kutaka neema za Allah Mtukufu alizowaneemesha ziwaondokee. info
التفاسير: |
prev

Al-Falaq

next
:
0:00 0:00