Prijevod značenja Plemenitog Kur'ana - Prevod na svahili jezik - Abdullah Muhammed i Nasir Hamis

12 : 15

كَذَٰلِكَ نَسۡلُكُهُۥ فِي قُلُوبِ ٱلۡمُجۡرِمِينَ

Kama tulivyoutia ukafiri kwenye nyoyo za ummah waliotangulia kwa sababu ya kuwafanyia shere Mitume na kuwakanusha, hivyo ndivyo tunavyofanya kwenye nyoyo za washirikina miongoni mwa watu wako waliofanya uhalifu wa kumkanusha Allah Mtukufu na kuwakanusha Mitume Wake. info
التفاسير: |
prev

Al-hijr

next
:
0:00 0:00