Translation of the Meanings of the Noble Qur'an - Swahili translation - Ali Muhsen Alberwany * - Translations’ Index

XML CSV Excel API
Please review the Terms and Policies

Translation of the meanings Ayah: (44) Surah: Ash-Shūra
وَمَن يُضۡلِلِ ٱللَّهُ فَمَا لَهُۥ مِن وَلِيّٖ مِّنۢ بَعۡدِهِۦۗ وَتَرَى ٱلظَّٰلِمِينَ لَمَّا رَأَوُاْ ٱلۡعَذَابَ يَقُولُونَ هَلۡ إِلَىٰ مَرَدّٖ مِّن سَبِيلٖ
Na ambaye Mwenyezi Mungu amemwacha kupotea, hana mlinzi baada yake. Na utawaona wenye kudhulumu watakapo iona adhabu wanasema: Je! Ipo njia ya kurudi?
Na mwenye kuipotea Njia ya Uwongofu kwa kuwa hana ujuzi mwema, basi hana wa kumnusuru isipo kuwa Mwenyezi Mungu, ndiye wa kumwongoa na wa kumkinga na adhabu. Na, ewe unaye semezwa! Utaona Siku ya Kiyama wale wenye kudhulumu watakapo iona adhabu ya Akhera wanamuuliza Mola wao Mlezi, watumie mbinu gani wapate kurejea duniani, ili wapate kutenda mema, siyo waliyo kuwa wakiyatenda kwanza?
Arabic explanations of the Qur’an:
 
Translation of the meanings Ayah: (44) Surah: Ash-Shūra
Surahs’ Index Page Number
 
Translation of the Meanings of the Noble Qur'an - Swahili translation - Ali Muhsen Alberwany - Translations’ Index

Translation of the Quran meanings into Swahili by Ali Muhsen Alberwany

close