Traducción de los significados del Sagrado Corán - Traducción al idioma swahili- Abdullah Mohamad y Naser Jamis * - Índice de traducciones


Traducción de significados Capítulo: Sura Al-Humaza   Versículo:

Surat Al-Humazah

وَيۡلٞ لِّكُلِّ هُمَزَةٖ لُّمَزَةٍ
Shari na maangamivu yatampata kila mwenye kusengenya watu na kuwatukana.
Las Exégesis Árabes:
ٱلَّذِي جَمَعَ مَالٗا وَعَدَّدَهُۥ
Ambaye hamu yake ni kukusanya mali na kuyahesabu.
Las Exégesis Árabes:
يَحۡسَبُ أَنَّ مَالَهُۥٓ أَخۡلَدَهُۥ
Akidhani kuwa mali yake ambayo ameyakusanya yatampa dhamana ya kuishi milele duniani na kuhepa kuhesabiwa.
Las Exégesis Árabes:
كَلَّاۖ لَيُنۢبَذَنَّ فِي ٱلۡحُطَمَةِ
Anavyodhania sivyo. Atatiwa ndani ya Moto ambao huvunjavunja kila kinachotiwa.
Las Exégesis Árabes:
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡحُطَمَةُ
Lipi lililokujulisha, ewe Mtume, ni upi huo Moto unaovunjavunja?
Las Exégesis Árabes:
نَارُ ٱللَّهِ ٱلۡمُوقَدَةُ
Huo ni Moto wa Mwenyezi Mungu uliowashwa.
Las Exégesis Árabes:
ٱلَّتِي تَطَّلِعُ عَلَى ٱلۡأَفۡـِٔدَةِ
Ambao kwa ukali wake hupenyeza miilini ukafikia kwenye nyoyo.
Las Exégesis Árabes:
إِنَّهَا عَلَيۡهِم مُّؤۡصَدَةٞ
Moto huo umefungiwa juu yao wakiwa wametiwa minyororo
Las Exégesis Árabes:
فِي عَمَدٖ مُّمَدَّدَةِۭ
na pingu ndefu ili wasitoke.
Las Exégesis Árabes:
 
Traducción de significados Capítulo: Sura Al-Humaza
Índice de Capítulos Número de página
 
Traducción de los significados del Sagrado Corán - Traducción al idioma swahili- Abdullah Mohamad y Naser Jamis - Índice de traducciones

Traducción del significado del Noble Corán al suajili por el Dr. Abdalla Mohamed Abubakar y Nassor Khamis

Cerrar