Traducción de los significados del Sagrado Corán - Traducción al idioma swahili- Abdullah Mohamad y Naser Jamis * - Índice de traducciones


Traducción de significados Capítulo: Sura Al-Nass   Versículo:

Surat An-Nas

قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلنَّاسِ
Sema, ewe Mtume, «Ninajilinda na kutaka hifadhi kwa Bwana wa watu, Mwenye uweza, Peke Yake, wa kulirudisha shari lao.
Las Exégesis Árabes:
مَلِكِ ٱلنَّاسِ
«Mfalme wa watu, Mwenye kupeleka mambo yao yote Anavyotaka, Aliye Mkwasi kutowahitajia.
Las Exégesis Árabes:
إِلَٰهِ ٱلنَّاسِ
«Mola wa watu, Ambaye hapana mwenye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Yeye.
Las Exégesis Árabes:
مِن شَرِّ ٱلۡوَسۡوَاسِ ٱلۡخَنَّاسِ
«Kutokana na udhia wa shetani ambaye hutia watu wasiwasi wanapoghafilika na hujificha atajwapo Mwenyezi Mungu.
Las Exégesis Árabes:
ٱلَّذِي يُوَسۡوِسُ فِي صُدُورِ ٱلنَّاسِ
«Mwenye kupenyeza shari na shaka kwenye vifua vya watu.
Las Exégesis Árabes:
مِنَ ٱلۡجِنَّةِ وَٱلنَّاسِ
«Miongoni mwa mashetani wa kijini na kibinadamu.»
Las Exégesis Árabes:
 
Traducción de significados Capítulo: Sura Al-Nass
Índice de Capítulos Número de página
 
Traducción de los significados del Sagrado Corán - Traducción al idioma swahili- Abdullah Mohamad y Naser Jamis - Índice de traducciones

Traducción del significado del Noble Corán al suajili por el Dr. Abdalla Mohamed Abubakar y Nassor Khamis

Cerrar