ترجمه‌ى معانی قرآن کریم - ترجمه‌ى سواحلى - عبد الله محمد و ناصر خميس

10 : 67

وَقَالُواْ لَوۡ كُنَّا نَسۡمَعُ أَوۡ نَعۡقِلُ مَا كُنَّا فِيٓ أَصۡحَٰبِ ٱلسَّعِيرِ

Na watasema kwa kukubali makosa, «Lau tungekua tunasikia usikivu wa mwenye kutafuta haki, au tunafikiria juu ya yale tunayoitiwa kwayo, tusingekua kati ya watu wa Motoni». info
التفاسير: |
next

Al-Mulk

prev
:
0:00 0:00