Firo maanaaji al-quraan tedduɗo oo - Firo sawahiliiwo. - Abdullaay Muhammad e Naadir Kamiis. * - Tippudi firooji ɗii


Firo maanaaji Simoore: Simoore laɓɓinde (al-iqlaas)   Aaya:

Surat Al-Ikhlas

قُلۡ هُوَ ٱللَّهُ أَحَدٌ
Sema, ewe Mtume, «Yeye Ndiye Mwenyezi Mungu Aliyepwekeka kwa ustahiki wa kuabudiwa, uumbaji na utakatifu wa Majina na Sifa, Asiye na mshirika katika hayo.
Faccirooji aarabeeji:
ٱللَّهُ ٱلصَّمَدُ
«Mwenyezi Mungu Ambaye Peke Yake Ndiye Mwenye kukusudiwa kwa kukidhi haja na matakwa.
Faccirooji aarabeeji:
لَمۡ يَلِدۡ وَلَمۡ يُولَدۡ
«Hana mwana wala mzazi wala mke.
Faccirooji aarabeeji:
وَلَمۡ يَكُن لَّهُۥ كُفُوًا أَحَدُۢ
«Wala hakuna yoyote katika viumbe Vyake mwenye kufanana wala kushabihiyana na Yeye katika Majina Yake, Sifa Zake wala vitendo Vyake.»
Faccirooji aarabeeji:
 
Firo maanaaji Simoore: Simoore laɓɓinde (al-iqlaas)
Tippudi cimooje Tonngoode hello ngoo
 
Firo maanaaji al-quraan tedduɗo oo - Firo sawahiliiwo. - Abdullaay Muhammad e Naadir Kamiis. - Tippudi firooji ɗii

Firo maanaaji al-quraan tedduɗo oo fayde e ɗemngal sawaahili, firi ɗum ko Doktoor Abdullaay Muhammad Abuubakri. E mawɗo Naasir Kamiis.

Uddude