Firo maanaaji al-quraan tedduɗo oo - Firo saawaahiliiwo - Ali Muhsin Al-barwaany * - Tippudi firooji ɗii

XML CSV Excel API
Please review the Terms and Policies

Firo maanaaji Simoore: Simoore weendu Al-kawsar   Aaya:

Surat Al-Kauthar

إِنَّآ أَعۡطَيۡنَٰكَ ٱلۡكَوۡثَرَ
Hakika tumekupa kheri nyingi.
Sisi hakika tumekupa kheri nyingi za daima katika dunia na Akhera.
Faccirooji aarabeeji:
فَصَلِّ لِرَبِّكَ وَٱنۡحَرۡ
Basi swali na uchinje kwa ajili ya Mola wako Mlezi.
Ilivyo kuwa umepewa hayo, basi dumisha Swala kwa Mola wako Mlezi kwa usafi kabisa, na uchinje dhabihu wako kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa aliyo kupa ya ukarimu, na akakukhusisha wewe khasa kwa kukupa kheri.
Faccirooji aarabeeji:
إِنَّ شَانِئَكَ هُوَ ٱلۡأَبۡتَرُ
Hakika anaye kuchukia ndiye aliye mpungufu.
Hakika huyo anaye kuchukia ndiye aliye katika na kila kheri.
Faccirooji aarabeeji:
 
Firo maanaaji Simoore: Simoore weendu Al-kawsar
Tippudi cimooje Tonngoode hello ngoo
 
Firo maanaaji al-quraan tedduɗo oo - Firo saawaahiliiwo - Ali Muhsin Al-barwaany - Tippudi firooji ɗii

Firo maanaaji al-quraan tedduɗo oo fayde e ɗemngal sawahili, firi ɗum ko Ali Muhsin Al-barwani

Uddude