Traduction des sens du Noble Coran - Traduction Swahili - Ali Muhsin al-Barwani * - Lexique des traductions

XML CSV Excel API
Please review the Terms and Policies

Traduction des sens Sourate: AL-MASAD   Verset:

Surat Al-Masad

تَبَّتۡ يَدَآ أَبِي لَهَبٖ وَتَبَّ
Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.
Imeteketea mikono ya Abu Lahab iliyo kuwa ikiwaudhi Waislamu, na yeye mwenyewe amehiliki pia.
Les exégèses en arabe:
مَآ أَغۡنَىٰ عَنۡهُ مَالُهُۥ وَمَا كَسَبَ
Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma.
Hayatolindwa na adhabu ya Mwenyezi Mungu mali yake aliyo kuwa nayo, wala cheo chake alicho kichuma.
Les exégèses en arabe:
سَيَصۡلَىٰ نَارٗا ذَاتَ لَهَبٖ
Atauingia Moto wenye mwako.
Ataingia katika Moto unao waka, aungue.
Les exégèses en arabe:
وَٱمۡرَأَتُهُۥ حَمَّالَةَ ٱلۡحَطَبِ
Na mkewe, mchukuzi wa kuni,
Na ataingia pia kwenye Moto mkewe huyo aliye kuwa akibeba masengenyo baina ya watu, kama alivyo ingia yeye (mumewe).
Les exégèses en arabe:
فِي جِيدِهَا حَبۡلٞ مِّن مَّسَدِۭ
Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa.
Juu ya shingo yake itakuwa kamba ya mtende ya kumtesa.
Les exégèses en arabe:
 
Traduction des sens Sourate: AL-MASAD
Lexique des sourates Numéro de la page
 
Traduction des sens du Noble Coran - Traduction Swahili - Ali Muhsin al-Barwani - Lexique des traductions

Traduction des sens du noble Coran en langue Swahili, par Ali Muhsin al-Barwani.

Fermeture