Fassarar Ma'anonin Alqura'ni - Fassara da yaren Sawahili - Abdullah Muhammad da Nasir Khamis * - Teburin Bayani kan wasu Fassarori


Fassarar Ma'anoni Sura: Suratu Al'falaq   Aya:

Surat Al-Falaq

قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلۡفَلَقِ
Sema, ewe Mtume, «Najilinda na kutaka hifadhi kwa Bwana wa asubuhi.
Tafsiran larabci:
مِن شَرِّ مَا خَلَقَ
«Kutokana na shari la viumbe na udhia wao
Tafsiran larabci:
وَمِن شَرِّ غَاسِقٍ إِذَا وَقَبَ
«Na shari la usiku wenye giza lingi ungiapo na ujikitapo na mashari na maudhi mbalimbali yaliyomo ndani yake.
Tafsiran larabci:
وَمِن شَرِّ ٱلنَّفَّٰثَٰتِ فِي ٱلۡعُقَدِ
«Na shari la wchawi wenye kupuliza kwenye mafundo wanayoyafunga kwa lengo la kuroga.
Tafsiran larabci:
وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ
«Na shari la hasidi mwenye kutukia watu, anapowahusudu na kuwadhuru, kwa kutaka neema za Mwenyezi Mungu Aliyewaneemesha ziwaondokee.»
Tafsiran larabci:
 
Fassarar Ma'anoni Sura: Suratu Al'falaq
Teburin Jerin Sunayen Surori Lambar shafi
 
Fassarar Ma'anonin Alqura'ni - Fassara da yaren Sawahili - Abdullah Muhammad da Nasir Khamis - Teburin Bayani kan wasu Fassarori

ترجمة معاني القرآن الكريم إلى اللغة السواحلية، ترجمها الدكتور عبد الله محمد أبو بكر والشيخ ناصر خميس.

Rufewa