Fassarar Ma'anonin Alqura'ni - Fassara da yaren Sawahili - Abdullah Muhammad da Nasir Khamis * - Teburin Bayani kan wasu Fassarori


Fassarar Ma'anoni Sura: Suratu Al'sharh   Aya:

Surat Ash-Sharh

أَلَمۡ نَشۡرَحۡ لَكَ صَدۡرَكَ
Kwani Hatukukunjulia, ewe Mtume, kifua chako kwa sheria za Dini, kulingania watu kwa Mwenyezi Mungu na kujipamba kwa tabia nzuri,
Tafsiran larabci:
وَوَضَعۡنَا عَنكَ وِزۡرَكَ
Tukakuondolea mazito yako yaliyoemea mgongo wako
Tafsiran larabci:
ٱلَّذِيٓ أَنقَضَ ظَهۡرَكَ
na Tukakuweka, kwa matukufu Tuliyokuneemesha,
Tafsiran larabci:
وَرَفَعۡنَا لَكَ ذِكۡرَكَ
kwenye cheo cha juu?
Tafsiran larabci:
فَإِنَّ مَعَ ٱلۡعُسۡرِ يُسۡرًا
Usirudi nyuma katika kueneza ujumbe uliotumwa nao kwa makero ya maadui zako. Kwani kwenye dhiki kuna faraji.
Tafsiran larabci:
إِنَّ مَعَ ٱلۡعُسۡرِ يُسۡرٗا
Hakika kwenye dhiki kuna faraji.
Tafsiran larabci:
فَإِذَا فَرَغۡتَ فَٱنصَبۡ
Basi utakapomaliza mambo ya kidunia na shughuli zake jipinde kwa kufanya ibada.
Tafsiran larabci:
وَإِلَىٰ رَبِّكَ فَٱرۡغَب
Na kwa Mola wako Peke Yake weka matumaini yako.
Tafsiran larabci:
 
Fassarar Ma'anoni Sura: Suratu Al'sharh
Teburin Jerin Sunayen Surori Lambar shafi
 
Fassarar Ma'anonin Alqura'ni - Fassara da yaren Sawahili - Abdullah Muhammad da Nasir Khamis - Teburin Bayani kan wasu Fassarori

ترجمة معاني القرآن الكريم إلى اللغة السواحلية، ترجمها الدكتور عبد الله محمد أبو بكر والشيخ ناصر خميس.

Rufewa