Terjemahan makna Alquran Alkarim - Terjemahan Berbahasa Sawahili - Ali Muhsin Al-Barwani * - Daftar isi terjemahan

XML CSV Excel API
Please review the Terms and Policies

Terjemahan makna Surah: Surah Al-Kauṡar   Ayah:

Surat Al-Kauthar

إِنَّآ أَعۡطَيۡنَٰكَ ٱلۡكَوۡثَرَ
Hakika tumekupa kheri nyingi.
Sisi hakika tumekupa kheri nyingi za daima katika dunia na Akhera.
Tafsir berbahasa Arab:
فَصَلِّ لِرَبِّكَ وَٱنۡحَرۡ
Basi swali na uchinje kwa ajili ya Mola wako Mlezi.
Ilivyo kuwa umepewa hayo, basi dumisha Swala kwa Mola wako Mlezi kwa usafi kabisa, na uchinje dhabihu wako kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa aliyo kupa ya ukarimu, na akakukhusisha wewe khasa kwa kukupa kheri.
Tafsir berbahasa Arab:
إِنَّ شَانِئَكَ هُوَ ٱلۡأَبۡتَرُ
Hakika anaye kuchukia ndiye aliye mpungufu.
Hakika huyo anaye kuchukia ndiye aliye katika na kila kheri.
Tafsir berbahasa Arab:
 
Terjemahan makna Surah: Surah Al-Kauṡar
Daftar surah Nomor Halaman
 
Terjemahan makna Alquran Alkarim - Terjemahan Berbahasa Sawahili - Ali Muhsin Al-Barwani - Daftar isi terjemahan

Terjemahan Makna Al-Qur`ān Al-Karīm ke Bahasa Sawahili oleh Ali Muhsin Al-Barwani

Tutup