クルアーンの対訳 - スワヒリ語対訳 - Abdullah Muhammad and Nasir Khamis * - 対訳の目次


対訳 章: 象章   節:

Surat Al-Fil

أَلَمۡ تَرَ كَيۡفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِأَصۡحَٰبِ ٱلۡفِيلِ
Je hujui, ewe Mtume, namna Alivyowafanya Mola wako watu wa ndovu: Abraha Mhebeshi na jeshi lake ambalo alikuja nalo ili kuivunja Alkaba tukufu?
アラビア語 クルアーン注釈:
أَلَمۡ يَجۡعَلۡ كَيۡدَهُمۡ فِي تَضۡلِيلٖ
Kwani Hakuijaalia mipango yao mibaya waliyoifanya ni yenye kuvunjika na kupita patupu?
アラビア語 クルアーン注釈:
وَأَرۡسَلَ عَلَيۡهِمۡ طَيۡرًا أَبَابِيلَ
Na Aliwapelekea makundi yaliyofuatana,
アラビア語 クルアーン注釈:
تَرۡمِيهِم بِحِجَارَةٖ مِّن سِجِّيلٖ
ya ndege waliokuwa wakiwatupia wao vijiwe vya udongo mkavu mgumu.
アラビア語 クルアーン注釈:
فَجَعَلَهُمۡ كَعَصۡفٖ مَّأۡكُولِۭ
Akawapondaponda, wakawa ni kama majani makavu yaliyoliwa na wanyama na halafu kutupwa.
アラビア語 クルアーン注釈:
 
対訳 章: 象章
章名の目次 ページ番号
 
クルアーンの対訳 - スワヒリ語対訳 - Abdullah Muhammad and Nasir Khamis - 対訳の目次

クルアーン・スワヒリ語対訳 - Dr. Abdalla Mohamed Abubakar and Nassor Khamis

閉じる