Alkʋrãɑn wɑgellã mɑɑnɑ wã lebgre - Sẽn lebg ne Sowahili wã - Abdʋllaah Mʋhammad Naasir Hamiis

external-link copy
8 : 43

فَأَهۡلَكۡنَآ أَشَدَّ مِنۡهُم بَطۡشٗا وَمَضَىٰ مَثَلُ ٱلۡأَوَّلِينَ

Na yashapita mateso ya wa mwanzo kwa kuangamizwa kwa sababu ya ukanushaji wao, ujeuri wao na kuwacheza shere Mitume wao. Katika haya pana maliwazo kwa Nabii, rehema na amani zimshukie. info
التفاسير: |