पवित्र कुरअानको अर्थको अनुवाद - स्वाहिली अनुवाद : अली मुहसिन अल् बेरवानी । * - अनुवादहरूको सूची

XML CSV Excel API
Please review the Terms and Policies

अर्थको अनुवाद सूरः: सूरतुल् माऊन   श्लोक:

Surat Al-Ma'un

أَرَءَيۡتَ ٱلَّذِي يُكَذِّبُ بِٱلدِّينِ
Je! Umemwona anaye kadhibisha Malipo?
Unamjua anaye kanusha malipo na hisabu ya Akhera?
अरबी व्याख्याहरू:
فَذَٰلِكَ ٱلَّذِي يَدُعُّ ٱلۡيَتِيمَ
Huyo ndiye anaye msukuma yatima,
Ukitaka kumjua basi ni huyo ambaye anaye msukuma yatima kwa nguvu, na anamtumilia mabavu, na anamdhulumu,
अरबी व्याख्याहरू:
وَلَا يَحُضُّ عَلَىٰ طَعَامِ ٱلۡمِسۡكِينِ
Wala hahimizi kumlisha masikini.
Na wala hahimizi kulishwa masikini.
अरबी व्याख्याहरू:
فَوَيۡلٞ لِّلۡمُصَلِّينَ
Basi, ole wao wanao swali,
Maangamio yatawashukia wanao sali na wakasifika kwa sifa hizi, na wakaghafilika na Swala zao wasinafiike nazo.
अरबी व्याख्याहरू:
ٱلَّذِينَ هُمۡ عَن صَلَاتِهِمۡ سَاهُونَ
Ambao wanapuuza Sala zao;
Maangamio yatawashukia wanao swali na wakasifika kwa sifa hizi, na wakaghafilika na Swala zao wasinafiike nazo.
अरबी व्याख्याहरू:
ٱلَّذِينَ هُمۡ يُرَآءُونَ
Ambao wanajionyesha,
Ambao huonyesha kwa watu vitendo vyao, ili wapate cheo katika nyoyo za hao watu, na wasifiwe.
अरबी व्याख्याहरू:
وَيَمۡنَعُونَ ٱلۡمَاعُونَ
Nao huku wanazuia msaada.
Na huku wanazuia hisani zao na msaada wao kwa watu
अरबी व्याख्याहरू:
 
अर्थको अनुवाद सूरः: सूरतुल् माऊन
अध्यायहरूको (सूरःहरूको) सूची رقم الصفحة
 
पवित्र कुरअानको अर्थको अनुवाद - स्वाहिली अनुवाद : अली मुहसिन अल् बेरवानी । - अनुवादहरूको सूची

पवित्र कुर्आनको अर्थको स्वाहिली भाषामा अनुवाद, अनुवादक : अली मुहसिन अल् बेरवानी ।

बन्द गर्नुस्