4 : 49

إِنَّ ٱلَّذِينَ يُنَادُونَكَ مِن وَرَآءِ ٱلۡحُجُرَٰتِ أَكۡثَرُهُمۡ لَا يَعۡقِلُونَ

Hakika wale wanaokuita, (ewe Nabii), nyuma ya vyumba vyako kwa sauti ya juu, wengi wao hawana akili ya kuwapelekea kuwa na adabu nzuri pamoja na Mtume wa Allah Mtukufu, (rehema za Allah Mtukufu na amani zimshukie), na kumheshimu. info
التفاسير: |
prev

AlHujurat

next
:
0:00 0:00