7 : 107

وَيَمۡنَعُونَ ٱلۡمَاعُونَ

Na wanakataa kuwaazima watu vitu ambavyo hawadhuriki kwa kuviazima, kama vyombo vya kutumia, na vinginevyo. Wao hawakujifanyia wema nafsi zao kwa kumuabudu Mola wao, wala hawakuwafanyia wema viumbe Vyake. info
التفاسير: |
prev

Al-Ma'un

next
:
0:00 0:00