Kur'an-ı Kerim meal tercümesi - الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس * - Mealler fihristi


Anlam tercümesi Sure: Sûretu't-Tekâsur   Ayet:

Surat At-Takathur

أَلۡهَىٰكُمُ ٱلتَّكَاثُرُ
Kumewashughulisha kujifahiri kwa mali na watoto mkawacha kumtii Mwenyezi Mungu
Arapça tefsirler:
حَتَّىٰ زُرۡتُمُ ٱلۡمَقَابِرَ
Kujishughulisha kwenu na hilo kumeendelea mpaka mkawa makaburini na mkazikwa humo.
Arapça tefsirler:
كَلَّا سَوۡفَ تَعۡلَمُونَ
Siyo namna hii inatakiwa iwapumbaze kushindana kwa wingi wa mali. Itawadhihirikia kuwa Nyumba ya Akhera ni bora kwenu.
Arapça tefsirler:
ثُمَّ كَلَّا سَوۡفَ تَعۡلَمُونَ
Kisha tahadharini mtajua mwisho mbaya wa kutojishughulisha na Akhera.
Arapça tefsirler:
كَلَّا لَوۡ تَعۡلَمُونَ عِلۡمَ ٱلۡيَقِينِ
Siyo namna hii inatakiwa iwashughulishe kushindana kwa wingi wa mali.Lau mnajua kikweli, mngalirudi nyuma na mngaliangusiliza kuokoa nafsi zenu kutoka kwenye maangamivu.
Arapça tefsirler:
لَتَرَوُنَّ ٱلۡجَحِيمَ
Mtauona Moto!
Arapça tefsirler:
ثُمَّ لَتَرَوُنَّهَا عَيۡنَ ٱلۡيَقِينِ
Kisha mtauona bila shaka!
Arapça tefsirler:
ثُمَّ لَتُسۡـَٔلُنَّ يَوۡمَئِذٍ عَنِ ٱلنَّعِيمِ
Kisha mtaulizwa kuhusu kila aina ya starehe mliyokuwa nayo.
Arapça tefsirler:
 
Anlam tercümesi Sure: Sûretu't-Tekâsur
Surelerin fihristi Sayfa numarası
 
Kur'an-ı Kerim meal tercümesi - الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس - Mealler fihristi

ترجمة معاني القرآن الكريم إلى اللغة السواحلية، ترجمها الدكتور عبد الله محمد أبو بكر والشيخ ناصر خميس.

Kapat