《古兰经》译解 - 斯瓦希里语翻译-阿里·穆哈森·伯瓦尼 * - 译解目录

XML CSV Excel API
Please review the Terms and Policies

含义的翻译 章: 法莱格   段:

Surat Al-Falaq

قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلۡفَلَقِ
Sema: Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko,
Sema najikinga na Mola Mlezi wa asubuhi inapo pambazuka kutokana na usiku.
阿拉伯语经注:
مِن شَرِّ مَا خَلَقَ
Na shari ya alivyo viumba,
Na shari ya kila chenye shari katika viumbe, ambavyo hapana wa kuzuia shari yao ila Mwenye kumiliki amri yao.
阿拉伯语经注:
وَمِن شَرِّ غَاسِقٍ إِذَا وَقَبَ
Na shari ya giza la usiku liingiapo,
Na shari ya usiku unapo kuwa totoro.
阿拉伯语经注:
وَمِن شَرِّ ٱلنَّفَّٰثَٰتِ فِي ٱلۡعُقَدِ
Na shari ya wanao pulizia mafundoni,
Na shari ya anaye pita baina ya watu kwa sababu ya kuwafisidi.
阿拉伯语经注:
وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ
Na shari ya hasidi anapo husudu.
Na shari ya hasidi anaye tamani iondoke neema kwa wengine.
阿拉伯语经注:
 
含义的翻译 章: 法莱格
章节目录 页码
 
《古兰经》译解 - 斯瓦希里语翻译-阿里·穆哈森·伯瓦尼 - 译解目录

古兰经斯瓦希里语译解,阿里·穆哈森·伯瓦尼翻译

关闭