Check out the new design

Firo maanaaji al-quraan tedduɗo oo - Eggo e ɗemngal Swahili - Ali Muhsin Alberwani. * - Tippudi firooji ɗii

XML CSV Excel API
Please review the Terms and Policies

Firo maanaaji Aaya: (14) Simoore: Simoore ñaaki
وَهُوَ ٱلَّذِي سَخَّرَ ٱلۡبَحۡرَ لِتَأۡكُلُواْ مِنۡهُ لَحۡمٗا طَرِيّٗا وَتَسۡتَخۡرِجُواْ مِنۡهُ حِلۡيَةٗ تَلۡبَسُونَهَاۖ وَتَرَى ٱلۡفُلۡكَ مَوَاخِرَ فِيهِ وَلِتَبۡتَغُواْ مِن فَضۡلِهِۦ وَلَعَلَّكُمۡ تَشۡكُرُونَ
Yeye ndiye aliye ifanya bahari ikutumikieni, ili kutokana na humo mpate kula nyama laini, na mtoe humo mapambo mnayo yavaa. Na unaona marikebu zikikata maji humo, ili mtafute fadhila yake, na mpate kushukuru.
Ni Yeye aliye idhalilisha bahari, na akaifanya ikutumikieni, mpate kuvua na mle nyama za samaki, laini na mpya mpya. Na mtoe humo baharini mapambo kama lulu na marijani. Na ewe mwenye kuangalia ukazingatia, unaona marikebu zinavyo pita baharini zikikata maji nazo zimesheheni bidhaa na vyakula. Mwenyezi Mungu ameyadhalilisha hayo ili mnafuike nyinyi, na mtafute riziki kwa fadhila ya Mwenyezi Mungu kwa njia ya biashara na nyenginezo, na mpate kumshukuru kwa aliyo kutengenezeeni, na hayo ni kwa kukutumikieni nyinyi.
Faccirooji aarabeeji:
 
Firo maanaaji Aaya: (14) Simoore: Simoore ñaaki
Tippudi cimooje Tonngoode hello ngoo
 
Firo maanaaji al-quraan tedduɗo oo - Eggo e ɗemngal Swahili - Ali Muhsin Alberwani. - Tippudi firooji ɗii

Eggi nde ko Ali Muhsin Alberwani.

Uddude