Check out the new design

Fassarar Ma'anonin Alqura'ni - Fassarar Sawahil - Cibiyar fassara ta Ruwwad * - Teburin Bayani kan wasu Fassarori


Fassarar Ma'anoni Sura: Al'waki'ah   Aya:
يَطُوفُ عَلَيۡهِمۡ وِلۡدَٰنٞ مُّخَلَّدُونَ
Wakitumikiwa na wavulana wa ujana wa milele.
Tafsiran larabci:
بِأَكۡوَابٖ وَأَبَارِيقَ وَكَأۡسٖ مِّن مَّعِينٖ
Kwa vikombe na mabirika na bilauri za vinywaji kutoka chemchemi safi.
Tafsiran larabci:
لَّا يُصَدَّعُونَ عَنۡهَا وَلَا يُنزِفُونَ
Hawataumwa kichwa kwa vinywaji hivyo wala hawatoleweshwa.
Tafsiran larabci:
وَفَٰكِهَةٖ مِّمَّا يَتَخَيَّرُونَ
Na matunda wayapendayo.
Tafsiran larabci:
وَلَحۡمِ طَيۡرٖ مِّمَّا يَشۡتَهُونَ
Na nyama za ndege kama wanavyotamani.
Tafsiran larabci:
وَحُورٌ عِينٞ
Na Mahurulaini.
Tafsiran larabci:
كَأَمۡثَٰلِ ٱللُّؤۡلُوِٕ ٱلۡمَكۡنُونِ
Walio kama mfano wa lulu zilizohifadhiwa.
Tafsiran larabci:
جَزَآءَۢ بِمَا كَانُواْ يَعۡمَلُونَ
Ni malipo kwa waliyokuwa wakiyatenda.
Tafsiran larabci:
لَا يَسۡمَعُونَ فِيهَا لَغۡوٗا وَلَا تَأۡثِيمًا
Humo hawatasikia porojo wala maneno ya dhambi.
Tafsiran larabci:
إِلَّا قِيلٗا سَلَٰمٗا سَلَٰمٗا
Isipokuwa maneno ya Salama, Salama.
Tafsiran larabci:
وَأَصۡحَٰبُ ٱلۡيَمِينِ مَآ أَصۡحَٰبُ ٱلۡيَمِينِ
Na wale wa mkono wa kulia, ni yepi yatakuwa ya wa kuliani?
Tafsiran larabci:
فِي سِدۡرٖ مَّخۡضُودٖ
Katika mikunazi isiyo na miba.
Tafsiran larabci:
وَطَلۡحٖ مَّنضُودٖ
Na migomba iliyopangiliwa.
Tafsiran larabci:
وَظِلّٖ مَّمۡدُودٖ
Na kivuli kilichotanda.
Tafsiran larabci:
وَمَآءٖ مَّسۡكُوبٖ
Na maji yanayomiminika.
Tafsiran larabci:
وَفَٰكِهَةٖ كَثِيرَةٖ
Na matunda mengi.
Tafsiran larabci:
لَّا مَقۡطُوعَةٖ وَلَا مَمۡنُوعَةٖ
Hayatindikii wala hayakatazwi.
Tafsiran larabci:
وَفُرُشٖ مَّرۡفُوعَةٍ
Na matandiko yaliyonyanyuliwa.
Tafsiran larabci:
إِنَّآ أَنشَأۡنَٰهُنَّ إِنشَآءٗ
Hakika Sisi tutawaumba (Mahurulaini) upya.
Tafsiran larabci:
فَجَعَلۡنَٰهُنَّ أَبۡكَارًا
Na tutawafanya vijana.
Tafsiran larabci:
عُرُبًا أَتۡرَابٗا
Wanapendana na waume zao, hirimu moja.
Tafsiran larabci:
لِّأَصۡحَٰبِ ٱلۡيَمِينِ
Kwa ajili ya watu wa kuliani.
Tafsiran larabci:
ثُلَّةٞ مِّنَ ٱلۡأَوَّلِينَ
Fungu kubwa katika wa mwanzo.
Tafsiran larabci:
وَثُلَّةٞ مِّنَ ٱلۡأٓخِرِينَ
Na fungu kubwa katika wa mwisho.
Tafsiran larabci:
وَأَصۡحَٰبُ ٱلشِّمَالِ مَآ أَصۡحَٰبُ ٱلشِّمَالِ
Na watu wa kushotoni; je ni yepi ya wa kushotoni?
Tafsiran larabci:
فِي سَمُومٖ وَحَمِيمٖ
Katika upepo wa moto, na maji yanayochemka.
Tafsiran larabci:
وَظِلّٖ مِّن يَحۡمُومٖ
Na kivuli cha moshi mweusi.
Tafsiran larabci:
لَّا بَارِدٖ وَلَا كَرِيمٍ
Si baridi wala cha kustarehesha.
Tafsiran larabci:
إِنَّهُمۡ كَانُواْ قَبۡلَ ذَٰلِكَ مُتۡرَفِينَ
Hakika hao walikuwa kabla ya haya wakiishi maisha ya anasa.
Tafsiran larabci:
وَكَانُواْ يُصِرُّونَ عَلَى ٱلۡحِنثِ ٱلۡعَظِيمِ
Na walikuwa wakiendelea tu kufanya madhambi makubwa.
Tafsiran larabci:
وَكَانُواْ يَقُولُونَ أَئِذَا مِتۡنَا وَكُنَّا تُرَابٗا وَعِظَٰمًا أَءِنَّا لَمَبۡعُوثُونَ
Na walikuwa wakisema: 'Tutakapokufa na tukawa udongo na mafupa, ati ndiyo tutafufuliwa?
Tafsiran larabci:
أَوَءَابَآؤُنَا ٱلۡأَوَّلُونَ
Au baba zetu wa zamani?'
Tafsiran larabci:
قُلۡ إِنَّ ٱلۡأَوَّلِينَ وَٱلۡأٓخِرِينَ
Sema: 'Hakika wa zamani na wa mwisho.'
Tafsiran larabci:
لَمَجۡمُوعُونَ إِلَىٰ مِيقَٰتِ يَوۡمٖ مَّعۡلُومٖ
Bila ya shaka watakusanywa kwa wakati wa siku maalumu.
Tafsiran larabci:
 
Fassarar Ma'anoni Sura: Al'waki'ah
Teburin Jerin Sunayen Surori Lambar shafi
 
Fassarar Ma'anonin Alqura'ni - Fassarar Sawahil - Cibiyar fassara ta Ruwwad - Teburin Bayani kan wasu Fassarori

Wani gungu na cibiyar fassara ta Ruwad ne suka fassarasu tare da haɗin gwiwar Ƙungiyar Da'awa ta Rabwah da Kungiyar hidimtawa abinda Musulunci ya kunsa da yaruka

Rufewa