2 : 106

إِۦلَٰفِهِمۡ رِحۡلَةَ ٱلشِّتَآءِ وَٱلصَّيۡفِ

Oneni ajabu kwa kupangika na kuwepesika kwa misafara yao ya kwenda yemeni kipindi cha kusi na kwenda Shamu kipindi cha kaskazi, ili kuleta vitu wanavyohitajia, na kuwa yote hayo yamewepesishwa na Allah Mtukufu. info
التفاسير: |
next

سورة قريش - Quraish

prev
:
0:00 0:00