Translation of the Meanings of the Noble Qur'an - Swahili translation - Abdalla Mohamed Abubakar and Nassor Khamis Abdurahman * - Translations’ Index


Translation of the meanings Ayah: (88) Surah: Al-Mā’idah
وَكُلُواْ مِمَّا رَزَقَكُمُ ٱللَّهُ حَلَٰلٗا طَيِّبٗاۚ وَٱتَّقُواْ ٱللَّهَ ٱلَّذِيٓ أَنتُم بِهِۦ مُؤۡمِنُونَ
Na mstarehe, enyi Waumini, kwa halali nzuri Aliyowapa Mwenyezi Mungu na kuwatunukia. Na mcheni Mwenyezi Mungu kwa kufuata amri Zake na kujiepusha na makatazo Yake. Kwani kumuamini kwenu Mwenyezi Mungu kunawalazimisha nyinyi kumcha Yeye na kumtunza[2].
[2]Neno la kiarabu hapa ni murāqabah lenye maana ya kuangalia kwa makini, kutunza, kuchunga, kulinda n.k. Makusudio hapa ni kuwa na yakini kuwa Mwenyezi Mungu Akuona, akusikia na azijua harakati zako zote, yakini ambayo inamfanya mtu amuogope Mwenyezi Mungu.Kwa maelezo zaidi, ang. 'Uthaimīn,M.S. Sharh Riy,ād al-Sālihīn, Vol. I, P.324
Arabic explanations of the Qur’an:
 
Translation of the meanings Ayah: (88) Surah: Al-Mā’idah
Surahs’ Index Page Number
 
Translation of the Meanings of the Noble Qur'an - Swahili translation - Abdalla Mohamed Abubakar and Nassor Khamis Abdurahman - Translations’ Index

Translation of the Quran meanings into Swahili by Dr. Abdalla Mohamed Abubakar and Nassor Khamis

close