Check out the new design

Translation of the Meanings of the Noble Qur'an - Swahili translation - Rowad Translation Center * - Translations’ Index


Translation of the meanings Surah: Al-Mutaffifīn   Ayah:
لِيَوۡمٍ عَظِيمٖ
Katika Siku iliyo kuu.
Arabic explanations of the Qur’an:
يَوۡمَ يَقُومُ ٱلنَّاسُ لِرَبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ
Siku watakapomsimamia watu Mola Mlezi wa walimwengu wote?
Arabic explanations of the Qur’an:
كَلَّآ إِنَّ كِتَٰبَ ٱلۡفُجَّارِ لَفِي سِجِّينٖ
Hasha! Hakika maandiko ya wakosefu bila ya shaka yamo katika Sijjin.
Arabic explanations of the Qur’an:
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا سِجِّينٞ
Unajua nini Sijjin?
Arabic explanations of the Qur’an:
كِتَٰبٞ مَّرۡقُومٞ
Kitabu kilichoandikwa.
Arabic explanations of the Qur’an:
وَيۡلٞ يَوۡمَئِذٖ لِّلۡمُكَذِّبِينَ
Ole wao siku hiyo kwa wanaokadhibisha!
Arabic explanations of the Qur’an:
ٱلَّذِينَ يُكَذِّبُونَ بِيَوۡمِ ٱلدِّينِ
Ambao wanaikadhibisha Siku ya Malipo.
Arabic explanations of the Qur’an:
وَمَا يُكَذِّبُ بِهِۦٓ إِلَّا كُلُّ مُعۡتَدٍ أَثِيمٍ
Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi.
Arabic explanations of the Qur’an:
إِذَا تُتۡلَىٰ عَلَيۡهِ ءَايَٰتُنَا قَالَ أَسَٰطِيرُ ٱلۡأَوَّلِينَ
Anaposomewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!
Arabic explanations of the Qur’an:
كَلَّاۖ بَلۡۜ رَانَ عَلَىٰ قُلُوبِهِم مَّا كَانُواْ يَكۡسِبُونَ
Hasha! Bali yametia kutu juu ya nyoyo zao hao waliokuwa wakiyachuma.
Arabic explanations of the Qur’an:
كَلَّآ إِنَّهُمۡ عَن رَّبِّهِمۡ يَوۡمَئِذٖ لَّمَحۡجُوبُونَ
Hasha! Hakika hao siku hiyo bila ya shaka watazuiliwa na neema za Mola wao Mlezi.
Arabic explanations of the Qur’an:
ثُمَّ إِنَّهُمۡ لَصَالُواْ ٱلۡجَحِيمِ
Kisha wataingia Motoni!
Arabic explanations of the Qur’an:
ثُمَّ يُقَالُ هَٰذَا ٱلَّذِي كُنتُم بِهِۦ تُكَذِّبُونَ
Kisha waambiwe: Haya ndiyo mliyokuwa mkiyakadhabisha.
Arabic explanations of the Qur’an:
كَلَّآ إِنَّ كِتَٰبَ ٱلۡأَبۡرَارِ لَفِي عِلِّيِّينَ
Hasha! Hakika maandiko ya watu wema bila ya shaka yamo katika Illiyyin.
Arabic explanations of the Qur’an:
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا عِلِّيُّونَ
Na nini kitakachokujuvya nini Iliyyin?
Arabic explanations of the Qur’an:
كِتَٰبٞ مَّرۡقُومٞ
Kitabu kilichoandikwa.
Arabic explanations of the Qur’an:
يَشۡهَدُهُ ٱلۡمُقَرَّبُونَ
Wanakishuhudia waliokaribishwa.
Arabic explanations of the Qur’an:
إِنَّ ٱلۡأَبۡرَارَ لَفِي نَعِيمٍ
Hakika watu wema bila ya shaka watakuwa katika neema.
Arabic explanations of the Qur’an:
عَلَى ٱلۡأَرَآئِكِ يَنظُرُونَ
Wakae juu ya viti vya enzi wakiangalia.
Arabic explanations of the Qur’an:
تَعۡرِفُ فِي وُجُوهِهِمۡ نَضۡرَةَ ٱلنَّعِيمِ
Utatambua katika nyuso zao mng'aro wa neema,
Arabic explanations of the Qur’an:
يُسۡقَوۡنَ مِن رَّحِيقٖ مَّخۡتُومٍ
Watanyweshwa kinywaji safi kilichozibwa vyema.
Arabic explanations of the Qur’an:
خِتَٰمُهُۥ مِسۡكٞۚ وَفِي ذَٰلِكَ فَلۡيَتَنَافَسِ ٱلۡمُتَنَٰفِسُونَ
Kizibo chake ni miski. Na katika hayo na washindanie wenye kushindana.
Arabic explanations of the Qur’an:
وَمِزَاجُهُۥ مِن تَسۡنِيمٍ
Na mchanganyiko wake ni Tasniim.
Arabic explanations of the Qur’an:
عَيۡنٗا يَشۡرَبُ بِهَا ٱلۡمُقَرَّبُونَ
Chemchemi watakayoinywa waliokurubishwa.
Arabic explanations of the Qur’an:
إِنَّ ٱلَّذِينَ أَجۡرَمُواْ كَانُواْ مِنَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ يَضۡحَكُونَ
Kwa hakika wale waliokuwa wakosefu walikuwa wakiwacheka walioamini.
Arabic explanations of the Qur’an:
وَإِذَا مَرُّواْ بِهِمۡ يَتَغَامَزُونَ
Na wanapopita karibu yao wakikonyezana.
Arabic explanations of the Qur’an:
وَإِذَا ٱنقَلَبُوٓاْ إِلَىٰٓ أَهۡلِهِمُ ٱنقَلَبُواْ فَكِهِينَ
Na wanaporudi kwa watu wao hurudi nao wamefurahi.
Arabic explanations of the Qur’an:
وَإِذَا رَأَوۡهُمۡ قَالُوٓاْ إِنَّ هَٰٓؤُلَآءِ لَضَآلُّونَ
Na wanapowaona husema: Hakika hawa ndio hasa waliopotea.
Arabic explanations of the Qur’an:
وَمَآ أُرۡسِلُواْ عَلَيۡهِمۡ حَٰفِظِينَ
Na wao hawakutumwa wawe walinzi juu yao.
Arabic explanations of the Qur’an:
 
Translation of the meanings Surah: Al-Mutaffifīn
Surahs’ Index Page Number
 
Translation of the Meanings of the Noble Qur'an - Swahili translation - Rowad Translation Center - Translations’ Index

translated by Rowwad Translation Center, in cooperation with the Islamic Propagation Office in Rabwah and the Association for Serving Islamic Content in Languages.

close