Check out the new design

Fassarar Ma'anonin Alqura'ni - Fassarar Sawahil - Ali Muhsin al-Barwani * - Teburin Bayani kan wasu Fassarori

XML CSV Excel API
Please review the Terms and Policies

Fassarar Ma'anoni Sura: Al'ikhlas   Aya:

Al-Ikhlas

قُلۡ هُوَ ٱللَّهُ أَحَدٌ
Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.
Ewe Muhammad! Hao wanao sema kwa kejeli, "Tusifie Mola wako Mlezi.": waambie: Yeye ni Mwenyezi Mungu wa pekee hapana mwenginewe, wala hana mshirika.
Tafsiran larabci:
ٱللَّهُ ٱلصَّمَدُ
Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.
Mwenyezi Mungu Mwenye kukusudiwa peke yake katika haja zote, na yote yanayo takikana.
Tafsiran larabci:
لَمۡ يَلِدۡ وَلَمۡ يُولَدۡ
Hakuzaa wala hakuzaliwa.
Hana mtoto wala hakuzaliwa na baba wala mama,
Tafsiran larabci:
وَلَمۡ يَكُن لَّهُۥ كُفُوًا أَحَدُۢ
Wala hana anaye fanana naye hata mmoja.
Wala hana yeyote aliye mshabihi, au mfano wake.
Tafsiran larabci:
 
Fassarar Ma'anoni Sura: Al'ikhlas
Teburin Jerin Sunayen Surori Lambar shafi
 
Fassarar Ma'anonin Alqura'ni - Fassarar Sawahil - Ali Muhsin al-Barwani - Teburin Bayani kan wasu Fassarori

wanda Ali Muhsin al-Barwani ya fassarata.

Rufewa