Check out the new design

Terjemahan makna Alquran Alkarim - Terjemahan Berbahasa Sawahili - Abdullah Muhammad dan Nasir Khamis * - Daftar isi terjemahan


Terjemahan makna Surah: Aż-Żāriyāt   Ayah:

Adh-Dhariyat

وَٱلذَّٰرِيَٰتِ ذَرۡوٗا
Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, Anaapa kwa upepo wenye kurusha mchanga,
Tafsir berbahasa Arab:
فَٱلۡحَٰمِلَٰتِ وِقۡرٗا
na mawingu yenye kubeba uzito mkubwa wa maji,
Tafsir berbahasa Arab:
فَٱلۡجَٰرِيَٰتِ يُسۡرٗا
na jahazi zinazopita baharini na kutembea kwa upesi na usahali,
Tafsir berbahasa Arab:
فَٱلۡمُقَسِّمَٰتِ أَمۡرًا
na Malaika wenye kugawanya amri za Mwenyezi Mungu kwa viumbe Vyake,
Tafsir berbahasa Arab:
إِنَّمَا تُوعَدُونَ لَصَادِقٞ
kwamba mnayoahidiwa, enyi watu, ya kufufuliwa na kuhesabiwa ni tukio lenye kuwa kwa kweli na yakini,
Tafsir berbahasa Arab:
وَإِنَّ ٱلدِّينَ لَوَٰقِعٞ
na kwamba kuhesabiwa na kulipwa mema kwa amali njema ni jambo lisilo na budi.
Tafsir berbahasa Arab:
 
Terjemahan makna Surah: Aż-Żāriyāt
Daftar surah Nomor Halaman
 
Terjemahan makna Alquran Alkarim - Terjemahan Berbahasa Sawahili - Abdullah Muhammad dan Nasir Khamis - Daftar isi terjemahan

Diterjemahkan oleh Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakar dan Syekh Nasir Khamis.

Tutup