Check out the new design

Terjemahan makna Alquran Alkarim - Terjemahan Berbahasa Sawahili - Pusat Terjemah Ruwwād * - Daftar isi terjemahan


Terjemahan makna Ayah: (2) Surah: Al-Baqarah
ذَٰلِكَ ٱلۡكِتَٰبُ لَا رَيۡبَۛ فِيهِۛ هُدٗى لِّلۡمُتَّقِينَ
Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake; ni uwongofu kwa wachamungu.[1]
[1] Na kwa sababu shaka ni kusitasita kati ya mambo, basi kitu chenye shaka hakiwezi kumuongoa mtu. Na kwa sababu sifa ya Qur-aani ni kwamba haina shaka yoyote, basi ikalazimu kwamba ni yenye kuongoa. Ndiyo maana Mwenyezi Mungu akasema: "Ni uwongofu kwa wachamungu" peke yao. Kwa sababu, wasiokuwa wachamungu na wakaidi hawakosi kuwa na shaka katika jambo hata kama halina shaka yoyote. (Tafsir Al-Baqa'ii)
Tafsir berbahasa Arab:
 
Terjemahan makna Ayah: (2) Surah: Al-Baqarah
Daftar surah Nomor Halaman
 
Terjemahan makna Alquran Alkarim - Terjemahan Berbahasa Sawahili - Pusat Terjemah Ruwwād - Daftar isi terjemahan

Terjemahannya oleh Tim Markaz Ruwwād Terjemah bekerjasama dengan Perkumpulan Dakwah di Rabwah dan Perkumpulan Pelayanan Konten Islami dalam Bahasa.

Tutup