external-link copy
11 : 18

فَضَرَبۡنَا عَلَىٰٓ ءَاذَانِهِمۡ فِي ٱلۡكَهۡفِ سِنِينَ عَدَدٗا

Basi tukayaziba masikio yao kuwalaza humo pangoni kwa muda wa miaka kadhaa. info
التفاسير: |

Al-Kahf