external-link copy
15 : 19

وَسَلَٰمٌ عَلَيۡهِ يَوۡمَ وُلِدَ وَيَوۡمَ يَمُوتُ وَيَوۡمَ يُبۡعَثُ حَيّٗا

Na salama iwe juu yake siku ya kuzaliwa, na siku ya kufa, na siku ya kufufuliwa. info
التفاسير: |
prev

Maryam

next