3 : 106

فَلۡيَعۡبُدُواْ رَبَّ هَٰذَا ٱلۡبَيۡتِ

Basi, wamshukuru na kumuabudu Bwana wa Nyumba hii ya Al Ka‘ba, ambayo kwa ajili Yake wamepewa cheo na ukarimu, na wampwekeshe na kumtakasia ibada mola wa nyumba hiyo ya Al Ka‘ba. info
التفاسير: |
next

Quraish

prev
:
0:00 0:00