Check out the new design

Kilniojo Korano reikšmių vertimas - Vertimas į suahilių k. - Abdullah Muchamed ir Nasir Khamis * - Vertimų turinys


Reikšmių vertimas Sūra: Al-ʻAlak   Aja (Korano eilutė):

Al-Alaq

ٱقۡرَأۡ بِٱسۡمِ رَبِّكَ ٱلَّذِي خَلَقَ
Soma, ewe Nabii, Qur’ani uliyoteremshiwa ukianza kwa Jina la Mola wako Aliyepwekeka kwa kuumba.
Tafsyrai arabų kalba:
خَلَقَ ٱلۡإِنسَٰنَ مِنۡ عَلَقٍ
Aliyemuumba kila binadamu kwa pande la damu nzito nyekundu.
Tafsyrai arabų kalba:
ٱقۡرَأۡ وَرَبُّكَ ٱلۡأَكۡرَمُ
Soma, ewe Nabii, kile ulichoteremshiwa, na Mola wako ni Mwingi wa wema, Mwingi wa ukarimu.
Tafsyrai arabų kalba:
ٱلَّذِي عَلَّمَ بِٱلۡقَلَمِ
Aliyewafundisha viumbe vyake kuandika kwa kalamu.
Tafsyrai arabų kalba:
عَلَّمَ ٱلۡإِنسَٰنَ مَا لَمۡ يَعۡلَمۡ
Alimfundisha binadamu vitu ambavyo hakuwa akivijua. Akamtoa kwenye giza la ujinga, Akampeleka kwenye nuru ya elimu.
Tafsyrai arabų kalba:
كَلَّآ إِنَّ ٱلۡإِنسَٰنَ لَيَطۡغَىٰٓ
Kweli, binadamu hukiuka mipaka ya Mwenyezi Mungu
Tafsyrai arabų kalba:
أَن رَّءَاهُ ٱسۡتَغۡنَىٰٓ
akijiona ametosheka kwa utajiri wake.
Tafsyrai arabų kalba:
إِنَّ إِلَىٰ رَبِّكَ ٱلرُّجۡعَىٰٓ
Basi, ajue kila mwenye kutupa mipaka kuwa mwisho atarudi kwa Mwenyezi Mungu Ambaye Atamlipa kila binadamu kwa alilolitenda.
Tafsyrai arabų kalba:
أَرَءَيۡتَ ٱلَّذِي يَنۡهَىٰ
Je, umeona ujeuri wa ajabu zaidi kuliko wa mtu huyu, Abu jahl,
Tafsyrai arabų kalba:
عَبۡدًا إِذَا صَلَّىٰٓ
Anayemkataza mja wetu, Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, anapomsalia Mola wake?
Tafsyrai arabų kalba:
أَرَءَيۡتَ إِن كَانَ عَلَى ٱلۡهُدَىٰٓ
Waonaje iwapo mwenye kukatazwa kusali yuko uongofuni, vipi anamkataza?
Tafsyrai arabų kalba:
أَوۡ أَمَرَ بِٱلتَّقۡوَىٰٓ
Au iwapo anaamrisha mwigine kumcha Mungu, vipi anamkataza hilo?
Tafsyrai arabų kalba:
 
Reikšmių vertimas Sūra: Al-ʻAlak
Sūrų turinys Puslapio numeris
 
Kilniojo Korano reikšmių vertimas - Vertimas į suahilių k. - Abdullah Muchamed ir Nasir Khamis - Vertimų turinys

Išvertė Dr. Abdullah Muchamed Abubakar ir šeichas Nasir Khamis.

Uždaryti