Kilniojo Korano reikšmių vertimas - Suahilių k. vertimas - Ali Muchsen Al-Beruany * - Vertimų turinys

XML CSV Excel API
Please review the Terms and Policies

Reikšmių vertimas Sūra: Sūra Ar-Rahmaan   Aja (Korano eilutė):

Surat Ar-Rahman

ٱلرَّحۡمَٰنُ
Arrah'man, Mwingi wa Rehema .
Tafsyrai arabų kalba:
عَلَّمَ ٱلۡقُرۡءَانَ
Amefundisha Qur'ani.
Ninaapa kwa nyota inapo tua kwa kuchwa, ya kwamba Muhammad hakuiacha Njia iliyo sawa ya kufuata Haki, na wala hakupata kuitakidi upotovu.
Tafsyrai arabų kalba:
خَلَقَ ٱلۡإِنسَٰنَ
Amemuumba mwanaadamu!
Tafsyrai arabų kalba:
عَلَّمَهُ ٱلۡبَيَانَ
Akamfundisha kubaini.
Tafsyrai arabų kalba:
ٱلشَّمۡسُ وَٱلۡقَمَرُ بِحُسۡبَانٖ
Jua na mwezi huenda kwa hisabu.
Tafsyrai arabų kalba:
وَٱلنَّجۡمُ وَٱلشَّجَرُ يَسۡجُدَانِ
Na mimea yenye kutambaa, na miti, inanyenyekea.
Tafsyrai arabų kalba:
وَٱلسَّمَآءَ رَفَعَهَا وَوَضَعَ ٱلۡمِيزَانَ
Na mbingu ameziinua, na ameweka mizani!
Tafsyrai arabų kalba:
أَلَّا تَطۡغَوۡاْ فِي ٱلۡمِيزَانِ
Ili msidhulumu katika mizani.
Tafsyrai arabų kalba:
وَأَقِيمُواْ ٱلۡوَزۡنَ بِٱلۡقِسۡطِ وَلَا تُخۡسِرُواْ ٱلۡمِيزَانَ
Na wekeni mizani kwa haki, wala msipunje katika mizani.
Tafsyrai arabų kalba:
وَٱلۡأَرۡضَ وَضَعَهَا لِلۡأَنَامِ
Na ardhi ameiweka kwa ajili ya viumbe.
Tafsyrai arabų kalba:
فِيهَا فَٰكِهَةٞ وَٱلنَّخۡلُ ذَاتُ ٱلۡأَكۡمَامِ
Humo yamo matunda na mitende yenye mafumba.
Tafsyrai arabų kalba:
وَٱلۡحَبُّ ذُو ٱلۡعَصۡفِ وَٱلرَّيۡحَانُ
Na nafaka zenye makapi, na rehani.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha
Tafsyrai arabų kalba:
خَلَقَ ٱلۡإِنسَٰنَ مِن صَلۡصَٰلٖ كَٱلۡفَخَّارِ
Amemuumba mtu kwa udongo wa kinamo.
Tafsyrai arabų kalba:
وَخَلَقَ ٱلۡجَآنَّ مِن مَّارِجٖ مِّن نَّارٖ
Na akawaumba majini kwa ulimi wa moto.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha.
Tafsyrai arabų kalba:
رَبُّ ٱلۡمَشۡرِقَيۡنِ وَرَبُّ ٱلۡمَغۡرِبَيۡنِ
Mola Mlezi wa mashariki mbili na wa magharibi mbili.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
مَرَجَ ٱلۡبَحۡرَيۡنِ يَلۡتَقِيَانِ
Anaziendesha bahari mbili zikutane;
Tafsyrai arabų kalba:
بَيۡنَهُمَا بَرۡزَخٞ لَّا يَبۡغِيَانِ
Baina yao kipo kizuizi, zisiingiliane.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
يَخۡرُجُ مِنۡهُمَا ٱللُّؤۡلُؤُ وَٱلۡمَرۡجَانُ
Katika hizo bahari mbili zinatoka lulu na marijani.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
وَلَهُ ٱلۡجَوَارِ ٱلۡمُنشَـَٔاتُ فِي ٱلۡبَحۡرِ كَٱلۡأَعۡلَٰمِ
Na ni vyake Yeye hivi viendavyo baharini vilivyo undwa kama vilima.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
كُلُّ مَنۡ عَلَيۡهَا فَانٖ
Kila kilioko juu yake kitatoweka.
Tafsyrai arabų kalba:
وَيَبۡقَىٰ وَجۡهُ رَبِّكَ ذُو ٱلۡجَلَٰلِ وَٱلۡإِكۡرَامِ
Na atabakia Mwenyewe Mola wako Mlezi Mwenye utukufu na ukarimu.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
يَسۡـَٔلُهُۥ مَن فِي ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضِۚ كُلَّ يَوۡمٍ هُوَ فِي شَأۡنٖ
Vinamwomba Yeye vilivyomo katika mbingu na ardhi. Kila siku Yeye yumo katika mambo.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
سَنَفۡرُغُ لَكُمۡ أَيُّهَ ٱلثَّقَلَانِ
Tutakuhisabuni enyi makundi mawili.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
يَٰمَعۡشَرَ ٱلۡجِنِّ وَٱلۡإِنسِ إِنِ ٱسۡتَطَعۡتُمۡ أَن تَنفُذُواْ مِنۡ أَقۡطَارِ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضِ فَٱنفُذُواْۚ لَا تَنفُذُونَ إِلَّا بِسُلۡطَٰنٖ
Enyi makundi ya majini na watu! Mkiweza kupenya kwenye mbingu na ardhi, basi penyeni! Hamtapenya ila kwa kupewa madaraka.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
يُرۡسَلُ عَلَيۡكُمَا شُوَاظٞ مِّن نَّارٖ وَنُحَاسٞ فَلَا تَنتَصِرَانِ
Mtapelekewa muwako wa moto na shaba; wala hamtashinda.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
فَإِذَا ٱنشَقَّتِ ٱلسَّمَآءُ فَكَانَتۡ وَرۡدَةٗ كَٱلدِّهَانِ
Itakapo pasuka mbingu ikawa nyekundu kama mafuta.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
فَيَوۡمَئِذٖ لَّا يُسۡـَٔلُ عَن ذَنۢبِهِۦٓ إِنسٞ وَلَا جَآنّٞ
Siku hiyo hataulizwa dhambi zake mtu wala jini.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
يُعۡرَفُ ٱلۡمُجۡرِمُونَ بِسِيمَٰهُمۡ فَيُؤۡخَذُ بِٱلنَّوَٰصِي وَٱلۡأَقۡدَامِ
Watajuulikana wakosefu kwa alama zao, basi watashikwa kwa nywele zao za utosini na kwa miguu.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
هَٰذِهِۦ جَهَنَّمُ ٱلَّتِي يُكَذِّبُ بِهَا ٱلۡمُجۡرِمُونَ
Hii ndiyo Jahannamu ambayo wakosefu wakiikanusha.
Tafsyrai arabų kalba:
يَطُوفُونَ بَيۡنَهَا وَبَيۡنَ حَمِيمٍ ءَانٖ
Watakuwa wakizunguka baina ya hiyo na maji ya moto yanayo chemka.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
وَلِمَنۡ خَافَ مَقَامَ رَبِّهِۦ جَنَّتَانِ
Na mwenye kuogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake Mlezi atapata Bustani mbili.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
ذَوَاتَآ أَفۡنَانٖ
Bustani zenye matawi yaliyo tanda.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
فِيهِمَا عَيۡنَانِ تَجۡرِيَانِ
Ndani yake zimo chemchem mbili zinazo pita.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
فِيهِمَا مِن كُلِّ فَٰكِهَةٖ زَوۡجَانِ
Humo katika kila matunda zimo namna mbili.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
مُتَّكِـِٔينَ عَلَىٰ فُرُشِۭ بَطَآئِنُهَا مِنۡ إِسۡتَبۡرَقٖۚ وَجَنَى ٱلۡجَنَّتَيۡنِ دَانٖ
Wawe wameegemea matandiko yenye bit'ana ya hariri nzito; na matunda ya Bustani hizo yapo karibu.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
فِيهِنَّ قَٰصِرَٰتُ ٱلطَّرۡفِ لَمۡ يَطۡمِثۡهُنَّ إِنسٞ قَبۡلَهُمۡ وَلَا جَآنّٞ
Humo watakuwamo wanawake watulizao macho yao; hajawagusa mtu kabla yao wala jini.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
كَأَنَّهُنَّ ٱلۡيَاقُوتُ وَٱلۡمَرۡجَانُ
Kama kwamba wao ni yakuti na marijani.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha.
Tafsyrai arabų kalba:
هَلۡ جَزَآءُ ٱلۡإِحۡسَٰنِ إِلَّا ٱلۡإِحۡسَٰنُ
Ati yaweza kuwa malipo ya ihsani ila ihsani?
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
وَمِن دُونِهِمَا جَنَّتَانِ
Na zaidi ya hizo zipo Bustani nyengine mbili.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
مُدۡهَآمَّتَانِ
Za kijani kibivu.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
فِيهِمَا عَيۡنَانِ نَضَّاخَتَانِ
Na chemchem mbili zinazo furika.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
فِيهِمَا فَٰكِهَةٞ وَنَخۡلٞ وَرُمَّانٞ
Imo humo miti ya matunda, na mitende na mikomamanga.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
فِيهِنَّ خَيۡرَٰتٌ حِسَانٞ
Humo wamo wanawake wema wazuri.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
حُورٞ مَّقۡصُورَٰتٞ فِي ٱلۡخِيَامِ
Wanawake wazuri wanao tawishwa katika makhema.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
لَمۡ يَطۡمِثۡهُنَّ إِنسٞ قَبۡلَهُمۡ وَلَا جَآنّٞ
Hajawagusa mtu wala jini kabla yao.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
مُتَّكِـِٔينَ عَلَىٰ رَفۡرَفٍ خُضۡرٖ وَعَبۡقَرِيٍّ حِسَانٖ
Wameegemea juu ya matakia ya kijani na mazulia mazuri.
Tafsyrai arabų kalba:
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Tafsyrai arabų kalba:
تَبَٰرَكَ ٱسۡمُ رَبِّكَ ذِي ٱلۡجَلَٰلِ وَٱلۡإِكۡرَامِ
Limetukuka jina la Mola wako Mlezi Mwenye utukufu na ukarimu.
Tafsyrai arabų kalba:
 
Reikšmių vertimas Sūra: Sūra Ar-Rahmaan
Sūrų turinys Puslapio numeris
 
Kilniojo Korano reikšmių vertimas - Suahilių k. vertimas - Ali Muchsen Al-Beruany - Vertimų turinys

Kilniojo Korano reikšmių vertimas į suahilių k., išvertė Ali Muchsin Al-Birvany.

Uždaryti