Check out the new design

Vertaling van de betekenissen Edele Qur'an - Swahili vertaling - Abdoellah Mohammed en Nasser Khamees * - Index van vertaling


Vertaling van de betekenissen Surah: A-Naas   Vers:

An-Nas

قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلنَّاسِ
Sema, ewe Mtume, «Ninajilinda na kutaka hifadhi kwa Bwana wa watu, Mwenye uweza, Peke Yake, wa kulirudisha shari lao.
Arabische uitleg van de Qur'an:
مَلِكِ ٱلنَّاسِ
«Mfalme wa watu, Mwenye kupeleka mambo yao yote Anavyotaka, Aliye Mkwasi kutowahitajia.
Arabische uitleg van de Qur'an:
إِلَٰهِ ٱلنَّاسِ
«Mola wa watu, Ambaye hapana mwenye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Yeye.
Arabische uitleg van de Qur'an:
مِن شَرِّ ٱلۡوَسۡوَاسِ ٱلۡخَنَّاسِ
«Kutokana na udhia wa shetani ambaye hutia watu wasiwasi wanapoghafilika na hujificha atajwapo Mwenyezi Mungu.
Arabische uitleg van de Qur'an:
ٱلَّذِي يُوَسۡوِسُ فِي صُدُورِ ٱلنَّاسِ
«Mwenye kupenyeza shari na shaka kwenye vifua vya watu.
Arabische uitleg van de Qur'an:
مِنَ ٱلۡجِنَّةِ وَٱلنَّاسِ
«Miongoni mwa mashetani wa kijini na kibinadamu.»
Arabische uitleg van de Qur'an:
 
Vertaling van de betekenissen Surah: A-Naas
Surah's Index Pagina nummer
 
Vertaling van de betekenissen Edele Qur'an - Swahili vertaling - Abdoellah Mohammed en Nasser Khamees - Index van vertaling

Vertaald door Dr. Abdoellah Mohammed Aboe Bakr en Sheikh Nasser Khamees.

Sluit