د قرآن کریم د معناوو ژباړه - سواحلي ژباړه - عبد الله محمد او ناصر خمیس

30 : 68

فَأَقۡبَلَ بَعۡضُهُمۡ عَلَىٰ بَعۡضٖ يَتَلَٰوَمُونَ

Wakageukiana wao kwa wao wakilaumiana kwa kuacha kuyafunga maneno yao na matakwa ya Allah Mtukufu na kwa lengo lao baya. info
التفاسير: |
next

Al-Qalam

prev
:
0:00 0:00