Tradução dos significados do Nobre Al-Qur’an. - Tradução Suaíli - Abdullah Muhammad e Nasser Khamis

86 : 15

إِنَّ رَبَّكَ هُوَ ٱلۡخَلَّٰقُ ٱلۡعَلِيمُ

Hakika Mola wako Ndiye Muumba wa kila kitu, Ndiye Anayekijua, kwa hivyo hakuna kitu chochote kinachomshinda wala kufichika Kwake katika ardhi wala mbinguni. info
التفاسير: |
prev

Al-hijr

next
:
0:00 0:00