78 : 15

وَإِن كَانَ أَصۡحَٰبُ ٱلۡأَيۡكَةِ لَظَٰلِمِينَ

Na kwa hakika, wakazi wa mji uliozingirwa na miti, nao ni watu wa Shu‘ayb, walikuwa ni wenye kuzidhulumu nafsi zao kwa kumkanusha Allah Mtukufu na Mtume wao mtukufu. info
التفاسير: |
prev

Al-hijr

next
:
0:00 0:00