Ibisobanuro bya qoran ntagatifu - Ibisobanuro mu giswahili - abdullah muhamad na nasoor khamis * - Ishakiro ry'ibisobanuro


Ibisobanuro by'amagambo Umurongo: (173) Isura: Al Im’ran (Umuryango Wa Imurani)
ٱلَّذِينَ قَالَ لَهُمُ ٱلنَّاسُ إِنَّ ٱلنَّاسَ قَدۡ جَمَعُواْ لَكُمۡ فَٱخۡشَوۡهُمۡ فَزَادَهُمۡ إِيمَٰنٗا وَقَالُواْ حَسۡبُنَا ٱللَّهُ وَنِعۡمَ ٱلۡوَكِيلُ
Wao ni wale walioambiwa na baadhi ya washirikina , «Abu Sufyani na wenzake wameamua kuwarudia nyinyi ili kuwamaliza, basi jihadharini nao na mjikinge na kukutana nao, kwani hamna nguvu za kupambana nao.» Tahadhari hiyo iliwazidishia yakini na kuikubali kikweli ahadi ya Mwenyezi Mungu kwao na haikuwazuia na uamuzi wao. Hapo walikwenda wakielekea pale Mwenyezi Mungu Alipotaka na wakasema, «Ḥasbunā Allāh wa Ni’ma al Wakīl» Yaani, Mtosheleza wetu ni Mwenyezi Mungu na Yeye Ndiye Wakili mwema Mwenye kutegemezewa mipango ya waja Wake.
Ibisobanuro by'icyarabu:
 
Ibisobanuro by'amagambo Umurongo: (173) Isura: Al Im’ran (Umuryango Wa Imurani)
Urutonde rw'amasura numero y'urupapuro
 
Ibisobanuro bya qoran ntagatifu - Ibisobanuro mu giswahili - abdullah muhamad na nasoor khamis - Ishakiro ry'ibisobanuro

Guhindura ibisobanuro bya Quran mu giswahili byasobanuwe na Dr Abdallah Mohamed abubakar na nassor khamis

Gufunga