2 : 60

إِن يَثۡقَفُوكُمۡ يَكُونُواْ لَكُمۡ أَعۡدَآءٗ وَيَبۡسُطُوٓاْ إِلَيۡكُمۡ أَيۡدِيَهُمۡ وَأَلۡسِنَتَهُم بِٱلسُّوٓءِ وَوَدُّواْ لَوۡ تَكۡفُرُونَ

Wakipata nafasi hao mnaowapenda kwa siri watawapiga vita na watanyoosha mikono yao kwenu, wawaue na wawateke, na pia ndimi zao, wawatukane na wawatusi, na walitamani, kwa hali yoyote, lau mngekanusha kama wao. info
التفاسير: |
next

Al-Mumtahanah

prev
:
0:00 0:00