Check out the new design

قرآن کریم کے معانی کا ترجمہ - سواحلی ترجمہ - علی محسن البروانی * - ترجمے کی لسٹ

XML CSV Excel API
Please review the Terms and Policies

معانی کا ترجمہ سورت: کوثر   آیت:

Al-Kauthar

إِنَّآ أَعۡطَيۡنَٰكَ ٱلۡكَوۡثَرَ
Hakika tumekupa kheri nyingi.
Sisi hakika tumekupa kheri nyingi za daima katika dunia na Akhera.
عربی تفاسیر:
فَصَلِّ لِرَبِّكَ وَٱنۡحَرۡ
Basi swali na uchinje kwa ajili ya Mola wako Mlezi.
Ilivyo kuwa umepewa hayo, basi dumisha Swala kwa Mola wako Mlezi kwa usafi kabisa, na uchinje dhabihu wako kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa aliyo kupa ya ukarimu, na akakukhusisha wewe khasa kwa kukupa kheri.
عربی تفاسیر:
إِنَّ شَانِئَكَ هُوَ ٱلۡأَبۡتَرُ
Hakika anaye kuchukia ndiye aliye mpungufu.
Hakika huyo anaye kuchukia ndiye aliye katika na kila kheri.
عربی تفاسیر:
 
معانی کا ترجمہ سورت: کوثر
سورتوں کی لسٹ صفحہ نمبر
 
قرآن کریم کے معانی کا ترجمہ - سواحلی ترجمہ - علی محسن البروانی - ترجمے کی لسٹ

علی محسن البروانی نے ترجمہ کیا ہے۔

بند کریں