ترجمة معاني القرآن الكريم - الترجمة السواحلية - علي محسن البرواني * - فهرس التراجم

XML CSV Excel API
تنزيل الملفات يتضمن الموافقة على هذه الشروط والسياسات

ترجمة معاني آية: (110) سورة: النحل
ثُمَّ إِنَّ رَبَّكَ لِلَّذِينَ هَاجَرُواْ مِنۢ بَعۡدِ مَا فُتِنُواْ ثُمَّ جَٰهَدُواْ وَصَبَرُوٓاْ إِنَّ رَبَّكَ مِنۢ بَعۡدِهَا لَغَفُورٞ رَّحِيمٞ
Kisha hakika Mola wako Mlezi, kwa wale walio hama makwao baada ya kuteswa, kisha wakapigania Dini na wakasubiri, bila ya shaka Mola wako Mlezi baada ya hayo ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.
Tena, ewe Nabii! Jua kuwa Mola wako Mlezi ni Mwenye kuwasaidia na kuwanusuru walio hama Makka kukimbiza Dini yao isikandamizwe, na nafsi zao zisiadhibiwe na washirikina. Kisha wakapigana Jihadi kwa kadiri ya uwezo wao, kwa maneno na vitendo, wakavumilia mashaka na taabu, na yaliyo wakuta kwa ajili ya Dini yao. Hakika Mola wako Mlezi baada ya hayo waliyo yastahamilia ni Mwenye kuwasamehe wakitubu, Mwenye kuwarehemu, basi hato wachukulia kwa walio lazimishwa kuyafanya.
التفاسير العربية:
 
ترجمة معاني آية: (110) سورة: النحل
فهرس السور رقم الصفحة
 
ترجمة معاني القرآن الكريم - الترجمة السواحلية - علي محسن البرواني - فهرس التراجم

ترجمة معاني القرآن الكريم إلى اللغة السواحلية، ترجمها علي محسن البرواني.

إغلاق