Terjemahan makna Alquran Alkarim - Terjemahan Berbahasa Sawahili - Ali Muhsin Al-Barwani * - Daftar isi terjemahan

XML CSV Excel API
Please review the Terms and Policies

Terjemahan makna Ayah: (110) Surah: Surah An-Naḥl
ثُمَّ إِنَّ رَبَّكَ لِلَّذِينَ هَاجَرُواْ مِنۢ بَعۡدِ مَا فُتِنُواْ ثُمَّ جَٰهَدُواْ وَصَبَرُوٓاْ إِنَّ رَبَّكَ مِنۢ بَعۡدِهَا لَغَفُورٞ رَّحِيمٞ
Kisha hakika Mola wako Mlezi, kwa wale walio hama makwao baada ya kuteswa, kisha wakapigania Dini na wakasubiri, bila ya shaka Mola wako Mlezi baada ya hayo ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.
Tena, ewe Nabii! Jua kuwa Mola wako Mlezi ni Mwenye kuwasaidia na kuwanusuru walio hama Makka kukimbiza Dini yao isikandamizwe, na nafsi zao zisiadhibiwe na washirikina. Kisha wakapigana Jihadi kwa kadiri ya uwezo wao, kwa maneno na vitendo, wakavumilia mashaka na taabu, na yaliyo wakuta kwa ajili ya Dini yao. Hakika Mola wako Mlezi baada ya hayo waliyo yastahamilia ni Mwenye kuwasamehe wakitubu, Mwenye kuwarehemu, basi hato wachukulia kwa walio lazimishwa kuyafanya.
Tafsir berbahasa Arab:
 
Terjemahan makna Ayah: (110) Surah: Surah An-Naḥl
Daftar surah Nomor Halaman
 
Terjemahan makna Alquran Alkarim - Terjemahan Berbahasa Sawahili - Ali Muhsin Al-Barwani - Daftar isi terjemahan

Terjemahan Makna Al-Qur`ān Al-Karīm ke Bahasa Sawahili oleh Ali Muhsin Al-Barwani

Tutup