3 : 63

ذَٰلِكَ بِأَنَّهُمۡ ءَامَنُواْ ثُمَّ كَفَرُواْ فَطُبِعَ عَلَىٰ قُلُوبِهِمۡ فَهُمۡ لَا يَفۡقَهُونَ

Hilo ni kwa kuwa wao wameamini kijuujuu kisha kindanindani wamekufuru. Ndipo Allah Mtukufu Akapiga mhuri juu ya nyoyo zao kwa ukafiri wao, hivyo basi hawayaelewi yale yenye maslahi kwao. info
التفاسير: |
prev

Al-Munafiqun

next
:
0:00 0:00