Check out the new design

Translation of the Meanings of the Noble Qur'an - Swahili translation - Rowad Translation Center * - Translations’ Index


Translation of the meanings Surah: Al-Fātihah   Ayah:

Al-Fatihah

بِسۡمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحۡمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ
Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.
Arabic explanations of the Qur’an:
ٱلۡحَمۡدُ لِلَّهِ رَبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu.[1]
[1] Mola Mlezi ni yule anayewalea walimwengu wote. Nao walimwengu ni kila kisichokuwa Mwenyezi Mungu.
Arabic explanations of the Qur’an:
ٱلرَّحۡمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ
Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.[1]
[1] Katika misingi waliyokubaliana juu yake watangulizi wema wa umma huu na maimamu wake ni kuamini kwamba Mwenyezi Mungu ana majina na sifa nzuri nzuri.
Arabic explanations of the Qur’an:
مَٰلِكِ يَوۡمِ ٱلدِّينِ
Mmiliki wa Siku ya Malipo.
Arabic explanations of the Qur’an:
إِيَّاكَ نَعۡبُدُ وَإِيَّاكَ نَسۡتَعِينُ
Ni Wewe tu tunayeabudu, na ni Wewe tu tunayeomba msaada.
Arabic explanations of the Qur’an:
ٱهۡدِنَا ٱلصِّرَٰطَ ٱلۡمُسۡتَقِيمَ
Tuongoe kwenye njia iliyonyooka.
Arabic explanations of the Qur’an:
صِرَٰطَ ٱلَّذِينَ أَنۡعَمۡتَ عَلَيۡهِمۡ غَيۡرِ ٱلۡمَغۡضُوبِ عَلَيۡهِمۡ وَلَا ٱلضَّآلِّينَ
Njia ya wale uliowaneemesha. Siyo ya wale waliokasirikiwa, wala waliopotea.
Arabic explanations of the Qur’an:
 
Translation of the meanings Surah: Al-Fātihah
Surahs’ Index Page Number
 
Translation of the Meanings of the Noble Qur'an - Swahili translation - Rowad Translation Center - Translations’ Index

translated by Rowwad Translation Center, in cooperation with the Islamic Propagation Office in Rabwah and the Association for Serving Islamic Content in Languages.

close