Check out the new design

Translation of the Meanings of the Noble Qur'an - Swahili translation - Rowad Translation Center * - Translations’ Index


Translation of the meanings Ayah: (2) Surah: Al-Fātihah
ٱلۡحَمۡدُ لِلَّهِ رَبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu.[1]
[1] Mola Mlezi ni yule anayewalea walimwengu wote. Nao walimwengu ni kila kisichokuwa Mwenyezi Mungu. Na ulezi wake Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa viumbe wake ni wa aina mbili: Wa kiujumla na wa mahususi. Ama wa kiujumla ni kuumba kwake viumbe, kuwapa riziki, na kuwaongoza katika yale yaliyo na masilahi yao. Nao ulezi wake mahususi ni kulea kwake vipenzi wake kwa imani, na kuwawezesha kuifikia, na kuwakamilishia imani hiyo. (Tafsir Assa'dii)
Arabic explanations of the Qur’an:
 
Translation of the meanings Ayah: (2) Surah: Al-Fātihah
Surahs’ Index Page Number
 
Translation of the Meanings of the Noble Qur'an - Swahili translation - Rowad Translation Center - Translations’ Index

translated by Rowwad Translation Center, in cooperation with the Islamic Propagation Office in Rabwah and the Association for Serving Islamic Content in Languages.

close