Firo maanaaji al-quraan tedduɗo oo - Firo sawahiliiwo. - Abdullaay Muhammad e Naadir Kamiis. * - Tippudi firooji ɗii


Firo maanaaji Aaya: (76) Simoore: Simoore roɓo
وَإِن كَادُواْ لَيَسۡتَفِزُّونَكَ مِنَ ٱلۡأَرۡضِ لِيُخۡرِجُوكَ مِنۡهَاۖ وَإِذٗا لَّا يَلۡبَثُونَ خِلَٰفَكَ إِلَّا قَلِيلٗا
Na makafiri walikaribia kukutoa Makkah kwa kukukera, na lau walikutoa huko hawangalikaa huko baada yako isipokuwa muda mchache, hadi iwashukie adhabu ya ulimwenguni.[6]
[6]Tafsiri ya aya hii yategemea moja ya sababu zilizotajwa za kuteremka kwake, nayo ni kuwa makafiri wa kikureshi walitaka kumtoa Mtume (s.a.w) kwenye mji, Mwenyezi Mungu Akawaonya kwa aya hii na kwamba wao lau walimtoa hawangalikaa kwenye mji wa Makkah baada yao isipokuwa muda mchache. Na hivyo ndivyo ilivyokuwa, kwani haukupita muda mrefu baada ya kugura kwa Mtume (s.a.w) kwenda Madīnah mpaka Mwenyezi Mungu Akawakusanya na wao hapo Badr, hapo wakubwa wao wakauawa na wengine kutekwa. Tazama Ibn Kathīr katika kufasiri aya hii.
Faccirooji aarabeeji:
 
Firo maanaaji Aaya: (76) Simoore: Simoore roɓo
Tippudi cimooje Tonngoode hello ngoo
 
Firo maanaaji al-quraan tedduɗo oo - Firo sawahiliiwo. - Abdullaay Muhammad e Naadir Kamiis. - Tippudi firooji ɗii

Firo maanaaji al-quraan tedduɗo oo fayde e ɗemngal sawaahili, firi ɗum ko Doktoor Abdullaay Muhammad Abuubakri. E mawɗo Naasir Kamiis.

Uddude