Firo maanaaji al-quraan tedduɗo oo - Firo sawahiliiwo. - Abdullaay Muhammad e Naadir Kamiis. * - Tippudi firooji ɗii


Firo maanaaji Aaya: (25) Simoore: Simoore ceergu
وَيَوۡمَ تَشَقَّقُ ٱلسَّمَآءُ بِٱلۡغَمَٰمِ وَنُزِّلَ ٱلۡمَلَٰٓئِكَةُ تَنزِيلًا
Ikumbuke, ewe Mtume, Siku hiyo ambayo mbingu zitapasuka-pasuka, na katika mwanya wa pasuko hizo yajitokeza mawingu meupe yaliyo membamba, na Siku hiyo Mwenyezi Mungu Awateremshe Malaika wa mbinguni wawazunguke viumbe katika Mkusanyiko, na Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka na kuwa juu, Aje kufanya uamuzi baina ya waja kwa namna inayonasibiana na utukufu Wake.
Faccirooji aarabeeji:
 
Firo maanaaji Aaya: (25) Simoore: Simoore ceergu
Tippudi cimooje Tonngoode hello ngoo
 
Firo maanaaji al-quraan tedduɗo oo - Firo sawahiliiwo. - Abdullaay Muhammad e Naadir Kamiis. - Tippudi firooji ɗii

Firo maanaaji al-quraan tedduɗo oo fayde e ɗemngal sawaahili, firi ɗum ko Doktoor Abdullaay Muhammad Abuubakri. E mawɗo Naasir Kamiis.

Uddude