prev

Al-hijr

next

1 : 15

الٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِ وَقُرۡءَانٖ مُّبِينٖ

(Alif, Lâm, Râ) Yametangulia maelezo kuhusu herufi zilizokatwa na kutengwa. hizo ni aya tukufu miongoni mwa aya za Kitabu kitukufu kilichoteremshwa kwa Muhammad, (rehema za Allah Mtukufu na amani zimshukie). Nazo ni aya za Qur’ani zenye kufafanua kweli kwa matamko mazuri zaidi na yaliyo wazi zaidi na yenye kuonyesha zaidi makusudio. Kitabu na Qur’ani ni kitu kimoja; na hapa Allah Mtukufu Ameyakusanya pamoja majina mawili. info
التفاسير: |
prev

Al-hijr

next
:
0:00 0:00