Terjemahan makna Alquran Alkarim - Terjemahan Berbahasa Sawahili - Ali Muhsin Al-Barwani * - Daftar isi terjemahan

XML CSV Excel API
Please review the Terms and Policies

Terjemahan makna Surah: Surah An-Nās   Ayah:

Surat An-Nas

قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلنَّاسِ
Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu,
Sema: Najikinga na Mola Mlezi wa wanaadamu, Mwenye kuendesha mambo yao.
Tafsir berbahasa Arab:
مَلِكِ ٱلنَّاسِ
Mfalme wa wanaadamu,
Mfalme wa wanaadamu, kwa ufalme ulio timia, kuwamiliki wote wafalme wao na maraia.
Tafsir berbahasa Arab:
إِلَٰهِ ٱلنَّاسِ
Mungu wa wanaadamu,
Mungu wa wanaadamu, Mwenye uweza kwa kuwasarifu kwa ukamilifu atakavyo.
Tafsir berbahasa Arab:
مِن شَرِّ ٱلۡوَسۡوَاسِ ٱلۡخَنَّاسِ
Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas,
Na shari ya mwenye kutia wasiwasi watu, ambaye hurudi nyuma ukiomba msaada kwa Mwenyezi Mungu dhidi yake.
Tafsir berbahasa Arab:
ٱلَّذِي يُوَسۡوِسُ فِي صُدُورِ ٱلنَّاسِ
Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu,
Ambaye hutia kwa kificho katika vifua vya watu ya kuwaachisha wasende kwenye njia ya uwongofu.
Tafsir berbahasa Arab:
مِنَ ٱلۡجِنَّةِ وَٱلنَّاسِ
Kutokana na majini na wanaadamu.
Kutokana na majini na wanaadamu.
Tafsir berbahasa Arab:
 
Terjemahan makna Surah: Surah An-Nās
Daftar surah Nomor Halaman
 
Terjemahan makna Alquran Alkarim - Terjemahan Berbahasa Sawahili - Ali Muhsin Al-Barwani - Daftar isi terjemahan

Terjemahan Makna Al-Qur`ān Al-Karīm ke Bahasa Sawahili oleh Ali Muhsin Al-Barwani

Tutup