Përkthimi i kuptimeve të Kuranit Fisnik - الترجمة السواحلية - علي محسن البرواني * - Përmbajtja e përkthimeve

XML CSV Excel API
Please review the Terms and Policies

Përkthimi i kuptimeve Surja: Suretu En Nas   Ajeti:

Surat An-Nas

قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلنَّاسِ
Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu,
Sema: Najikinga na Mola Mlezi wa wanaadamu, Mwenye kuendesha mambo yao.
Tefsiret në gjuhën arabe:
مَلِكِ ٱلنَّاسِ
Mfalme wa wanaadamu,
Mfalme wa wanaadamu, kwa ufalme ulio timia, kuwamiliki wote wafalme wao na maraia.
Tefsiret në gjuhën arabe:
إِلَٰهِ ٱلنَّاسِ
Mungu wa wanaadamu,
Mungu wa wanaadamu, Mwenye uweza kwa kuwasarifu kwa ukamilifu atakavyo.
Tefsiret në gjuhën arabe:
مِن شَرِّ ٱلۡوَسۡوَاسِ ٱلۡخَنَّاسِ
Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas,
Na shari ya mwenye kutia wasiwasi watu, ambaye hurudi nyuma ukiomba msaada kwa Mwenyezi Mungu dhidi yake.
Tefsiret në gjuhën arabe:
ٱلَّذِي يُوَسۡوِسُ فِي صُدُورِ ٱلنَّاسِ
Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu,
Ambaye hutia kwa kificho katika vifua vya watu ya kuwaachisha wasende kwenye njia ya uwongofu.
Tefsiret në gjuhën arabe:
مِنَ ٱلۡجِنَّةِ وَٱلنَّاسِ
Kutokana na majini na wanaadamu.
Kutokana na majini na wanaadamu.
Tefsiret në gjuhën arabe:
 
Përkthimi i kuptimeve Surja: Suretu En Nas
Përmbajtja e sureve Numri i faqes
 
Përkthimi i kuptimeve të Kuranit Fisnik - الترجمة السواحلية - علي محسن البرواني - Përmbajtja e përkthimeve

ترجمة معاني القرآن الكريم إلى اللغة السواحلية، ترجمها علي محسن البرواني.

Mbyll